




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 months ago
Kimara mwisho

Peter D
Verified documents(Stand alone house) Nyumba inajitegemea yenyewe ndani ya fence. Ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji vyote vipo. Ipo umbali wa dakika 15 kwa mguu au boda ni elfu moja maana ni umbali wa km1 kutoka lami na njia yake ni rafiki kwa aina zote za magari.
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties