




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
korogwe

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba2 vya kulala, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe, nyumba ipo ndani ya fence inayoingiza gari nyumba ya chini ndio inayopangishwa. Kodi inapokelewa kuanzia mwezi mmoja (1) na katika kodi bili ya maji inakua imelipiwa, karibu sana
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties