Nyumba inauzwa mbezi mwisho nyuma ya magufuli bus terminal (ubungo municipality)
mawasiliano-
ina vyumba vitatu kimoja master, dinning, sitting, kitchen&public toilet
pia kuna flem moja ya duka mbele
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement)
ukubwa wa eneo: sqm 500
nyumba iko ndani ya fance
bei : 65 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 30,000