




TSh 400,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Baruti

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe na ipo ndani ya fence yenye parking yakutosha, ni mwendo wa dakika 6 kwa miguu kutoka mwendokasi pia njia yake ni rafiki kwa aina zote za magari. Kwenye compound zipo apartment 3 tu
TSh 400,000 per month
Safety tips
Similar properties