



TSh 350,000,000
Handeni Rural , Tanga , Misima , 1 year ago
Handeni msomera (misima)

Peter D
Verified documentsNamba ya usajili wa shule ni.EM.17582 Eneo la shule ni heka kumi (10 acres) Eneo hilo lina hati kamili ya umiliki (title deed) Idadi ya madarasa ni nane. Idadi ya vyumba vya ofisi ni vinne. Idadi ya vyoo ni kumi ila jengo la vyoo halijakamilika kwenye upauzi. Jengo la bweni la wasichana limekamilika kwa asilimia 90%. Hadi sasa shule ina wanafunzi wachache maana shule bado ni mpya kabisa. Umeme upo pia maji yapo ya uhakika kabisa. Karibu sana usiogope bei njoo na offer yako maana MAONGEZI YAPO
TSh 350,000,000
Safety tips
Similar properties