




TSh 50,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 1 year ago
Mbezi kibada cha mkaa
Prince Realtor
Verified documentsNyumba inauzwa ipo mbezi kibanda cha mkaa umbali kutoka morogoro road ni km 1.5 tu bei tsh milioni 5o ukubwa wa eneo sqm 400 umiliki:hati ya mauziano ya serikali za mitaa. ina vyumba vinne vya kulala,kimoja master,jiko,public toilet,dinning. pia kuna servant quarter ya chumba kimoja na public toilet ya chumbakimoja na public toilet.
TSh 50,000,000
Safety tips
Similar properties