




TSh 400,000,000
Dar es Salaam , Ilala , Segerea , 8 months ago
Tabata Segerea

Mchakama Real Estate
Verified documentsApartments zinauzwa zipo tabata Segerea, zipo tano... kuna yenye bedroom 2 sitting room, kitchen public toilets zipo.nne... arafu kuna bedroom moja self, sebure jiko... zote zina wapangaji, wapangaji hawa wa muda hawataki kuondoka kwa kua nyumba bei Owner kaweka laki 4 kwa mwezi... ila sasa ivi nyumba za tabta zenye ukubwa km huu mpangaji analipa laki 6... mteja atake chukua izi nyumba ma kufanya mabadiliko ya kodi atapata faida nzuli ya kila baada ya mwezi... kiwanja chake sqm 1300 Documents Tittle did... umbali wa mita 250 kutoka Barabara ya Rami.karibu
TSh 400,000,000
Safety tips
Similar properties