




TSh 750,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kibamba , 3 months ago
Kibamba kona ya shule

Mchakama Real Estate
Verified documentsNyumba inauzwa kibamba,unaingia kona ya shule. Ina bedroom tatu za kulala, sitting room, Dining, kitchen public toilets, nyumba nzuli na.kuna nyumba 2 foundation... mteja anaweza jenga ya kupangisha au mabanda ya mifugo... kiwanja chake sqm 800. Ipo umbali wa kilometa 1.5 kutoka Barabara ya rami
TSh 750,000,000
Safety tips
Similar properties