




TSh 1,050,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Kariakoo , 1 year ago
Nyamwezi

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani, inajitegemea luku yake yenyewe, ukilipa kodi inakua inajumuisha maji safi, ulinzi, takataka na usafi wa nnje, pia maji yake ni ya DAWASA, Lift + generator vyote vipo. Malipo ni miezi 6 karibu sana
TSh 1,050,000 per month
Safety tips
Similar properties