




TSh 130,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
korogwe ebonite

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. hii nyumba inapangishwa laki 6. Pia nnje kuna master 4 ambazo zinapangishwa laki na hamsini (150k) kwa kila moja. Barabara ni mkeka mpaka kwenye nyumba maana nyumba inaangalia lami karibu sana MAONGEZI YAPO.
TSh 130,000,000
Safety tips
Similar properties