




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 20/04/2024 au mapema zaidi ya hapo apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa #public toilet #parking #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea bei ni 300,000/= x 6 ilipwe laki 3 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 12 tuu kwa miguu na njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba . kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja itakua wazi kuanzia tarehe 20/04/2024 au mapema zaidi ya hapo kuona ndani ruksa kabisa endapo mpangaji atakuwepo na malipo yanapokelewa
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties