




TSh 350,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Tabata kinyerez
Prince Realtor
Verified documentsNyumba ghorofa ina apartments 2 inauzwa binafsi* ipo tabata segerea manispaa ya ilala dar kila moja ina:- vyumba vitatu kimoja self, sitting, kitchen&public toilet umiliki : mkataba wa mauziano serikali ya mtaa,, eneo limepimwa hati itatoka kwa jina la mteja... ukubwa wa eneo: ~ sqm 800 plan ilikuwa ziwe mbili ambazo zina jumla ya apartments 4, unaweza kuendeleza plan hiyo kama inavyoonekana kwenye picha au kubadili... ni mita chache tu kutoka barabara kuu ya tabata-kinyerezi bei tsh 350 million maongezi yapo gharama za kwenda site (servicecharge) ni tshs 30,000/=
TSh 350,000,000
Safety tips
Similar properties