


TSh 17,500,000 Outright Price
Dar es Salaam , Temeke , Kigamboni , 3 years ago
Kigamboni

Neema Ally
Verified documentsKIGAMBONI MBUTU Viwanja vipo karibu na ferry ni km 18 tu kutoka ferry viwanja vipo karibu na makazi ya watu huduma zote za kijamii zinapatikana Viwanja vipo mita 500 tu kutoka baharini Viwanja vimezungukwa na hotel kubwa maarufu kwa kiwanja cha sqm 500 ni sh 17,500,000/= unaanza na sh 5,250,000/= inayobaki unalipa kila mwezi 2,450,000/= muda wa malipo ni miezi 6 kwa malipo ya mkupuo bei ni sh 15,000,000/=
TSh 17,500,000 Outright Price
Safety tips
Similar properties