




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Kariakoo , 11 months ago
Lumumba

Peter D
Verified documentsApartment ina chumba kimoja cha kulala na choo chake kwa pembeni, chumba ni kikubwa kina feni pamoja na balcony yake pia katika hela ya kodi inajumuisha umeme, maji, usafi, takataka pamoja na ulinzi. Hivyo kazi yako ni kutumia na kulala tu. Kipo floor ya 4
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties