




TSh 8,750,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbweni , 5 months ago
Bahari Beach

MAGESA ESTATE
Verified documentsShule nzuri sana ya kisasa inauzwa bahari beach area: eka 3.5 price : usd mil 3.5 umiliki : hati sifa zake-: -adminstarion block na jiko lake na vyoo vyake -madarasa saba, kila darasa lina sqmt 50 -labalatory room -computer room -vyoo vya staff na vyoo vya wanafunzi -tank la maji (underground water tank) la lita 84,000 -pump ya kusambaza maji -standby generator -swiming pool lenye ukubwa wa sqmt 250 -vyumba vya kubadilishia nguo -ofisi ya michezo -uwanja wa mpira wa miguu (football ground) -uwanja wa mpira wa kikapu (basketball ground) -uwanja wa volley ball -uwanja hockey karibu uwekeze
TSh 8,750,000,000
Safety tips
Similar properties