




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Korogwe

Peter D
Verified documents(Stand alone) Nyumba inajitegemea yenyewe ndani ya fence, ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Uwanja wake ni mkubwa kwa parking pia kuna eneo ambalo unaweza kufuga na kupanda mbogamboga, karibu sana malipo ni miezi 8
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties