




TSh 1,000,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 1 year ago
Kimara stop over

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment mpya nzuri sana ya kisasa sana inapangishwa na ipo mtaa mzuri sana bei ni 1,000,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala kimojawapo ni master bedroom kubwa sana #vyumba vyote vinamakabati ndani #sebule kubwa sana #jiko kubwa sana la kisasa yaani ni #public toilet #air condition #heater #free wi-fi #ulinzi ni bure na usafi wa mazingira ni bure full security (24 hours) #garden bei ni 1,000,000/= x 6 ilipwe milioni moja kwa mwezi apartment hii ipo kimara stop over na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 10 tuu kwa miguu na njia ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 20 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 1,000,000 per month
Safety tips
Similar properties