




TSh 270,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Bunju , 3 years ago
B

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 4 vya kulala 2 ni masters, sebule, dinning, jiko la kisasa, store na public toilet ndani. Inajitegemea yenyewe kwenye fensi na ina servant quarter. Ipo full documented pamoja na hati yake miliki kutoka wizara ya aridhi karibu sana mpaka kwenye nyumba ujionee mwenyewe jinsi ilivyo karibu na barabra ya lami... maongezi yapo usiogope bei
TSh 270,000,000
Safety tips
Similar properties