




TSh 110,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Mbezi Louis

Peter D
Verified documentsHapa kuna nyumba 2 ndani ya compound 1 hivyo nyumba kubwa ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master sebule, dining, jiko na public toilet ndani. Hii ya ghorofa ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Nyumba ipo ndani ya fence yenye parking na umbali wake kutoka stendi ya magufuli ni mwendo wa dakiki 10 kwa miguu.
TSh 110,000,000
Safety tips
Similar properties