




TSh 72,000,000,000
Ilemela , Mwanza , Nyamongoro , 3 months ago
Mwanza-Nyamhongoro

Nasib Isack
Verified documentsNyumba mbili ndan ya fensi moja, nyumba kubwa ina vyumba vinne vya kulala viwili n master choo na bafu vya public, sebure kubwa dinning jiko na stoo, ya pili ina chumba sebure self mara mbili, maji yapo pia kuna matank makubwa mawili yakuhifadhia maj, umeme upo, ziko ndan ya fensi, kiwanja n kikubwa sana, ziko jiran sana na Stand kuu ya mabas Nyamhongoro, zote zinauzwa 72million karbu sana
TSh 72,000,000,000
Safety tips
Similar properties