




TSh 900,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Kariakoo , 1 year ago
Livingstone

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule kubwa, jiko na piblic toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe na service charge ni 50k ambayo inabeba ulinzi, takataka ngumu, maji taka, maji safi na usafi wa kwenye ngazi. Kwa hiyo jumla ya kodi pamoja na service charge ni 950k kwa malipo ya miezi 6
TSh 900,000 per month
Safety tips
Similar properties