




TSh 600,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 9 months ago
Korogwe

Peter D
Verified documentsApartment 2 tu ndani ya fence na hii ndio nyumba kubwa ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko lenye makabati na public toilet. Ipo ndani ya fence yenye parking na umbali wa dakika 10 kwa miguu kutoka mwendokasi
TSh 600,000 per month
Safety tips
Similar properties