




TSh 550,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kinondoni , 3 years ago
Tabata kinyerezi
Prince Realtor
Verified documentsApartments inauzwa LOCATION: Tabata kinyezi mwisho Bei Tsh milion 550 maongezi yapo kuna apartments zipo 8 vyumba 2 vya kulala,chumba kimoja master, sebule, jiko,public toilet ziko 5 Kuna chumba, sebule choo na jiko zipo 3 kila apartment ina jitegemea kwa umeme na maji yaani kila apartment ina luku yake ya umeme na mita yake ya maji kwa sasa wapangaji Wamehama nyumba ipo wazi mteja akifika anaangalia nyumba zote kuna parking mbili mawili na milango 2 mbele na nyuma Ukubwa wa kiwanja SQM 1500 Umiliki: Hati miliki safi toka wizara ya ardhi KWA KUPANGISHA BEI ZAKE NI; Vyumba 2 vya kulala, chumba kimoja master, jiko, sitting room, public toilet kodi 300000 kwa mwezi chumba, sebule, choo na jiko 200000 kwa mwezi nyumba zipo mahali pazuri ulinzi wa kutosha wa maji dawasa kila mtu na tanki lake
TSh 550,000,000
Safety tips
Similar properties