




TSh 60,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 1 year ago
Malamba mawili

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji dawasco vyote vipo pamoja na huduma zote za kijamii, nyumba hii ipo karibu sana na barabara ya lami yaani mita chache tu kutoka lami, nyumba ina hati ya mauziano ya serekali ya mtaa, karibu sana maongezi yapo.
TSh 60,000,000
Safety tips
Similar properties