




TSh 350,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
Mwisho

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji. Kwenye compound zipo apartment 3 na kila moja inajitegemea kivyake na zimeachana kwa umbali flani. Apartment ipo umbali wakutembea kwa miguu dakika 10... karibu sana
TSh 350,000 per month
Safety tips
Similar properties