




TSh 95,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Malamba
Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji vyote vipo nyumba ipo karibu na barabara ya lami mita 200 tu kwa kutembea ni mwendo wa dakika 5, karibu sana MAONGEZI YAPO
TSh 95,000,000
Safety tips
Similar properties