




TSh 65,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 1 year ago
Mbagala kwa mbiku
Prince Realtor
Verified documentsTajiri njoo uchukue hii nyumba, haina kipengele labda uje nacho mwenyewe. ni nyumba nzuri ya kisasa kwa bei ya milioni 65 tu. location: mbagala kwa mbiku, dar es salaam sifa za nyumba: nyumba kubwa ina vyumba 3 vya kulala (2master bedroom) sebule kubwa sana dining room (sehemu ya kulia chakula) jiko na store yake choo cha public nyumba ndogo (servant quater) ina sebule kubwa na master yake. umeme upo kuna kisima cha maji & tank tiles, paving block, allunium window nyumba ina wapangaji, unaweza kuendelea nao au ukaamia mwenyewe tajiri.
TSh 65,000,000
Safety tips
Similar properties