




TSh 270,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 7 months ago
Kimara Temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri kubwa ya kisasa na ipo mtaa mzuri sana inapangishwa bei ni 270,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala #hakuna master bedroom #sebule kubwa sana #jiko kubwa lenye makabati #public toilet nzuri #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea #zipo apartment 2 kwenye fensi moja na hii moja ndio inapangishwa #parking kubwa bei ni 270,000/= x 6 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi na kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1.5 kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja
TSh 270,000 per month
Safety tips
Similar properties