




TSh 500,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , 2 years ago
Kimara temboni

Dalali Selebobo
Verified documentsApartment nzuri ya kisasa na ipo mazingira mazuri sana inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 10/10/2023 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa #jiko kubwa la kisasa #aircondition (ac) #garden #heater ya maji moto #parking #luku na mita ya maji dawasa inajitegemea bei ni 500k x 6 ilipwe laki 5 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu bila kusahau pesa ya tahadhali (caution money) shilingi laki 4 inalipwa sambamba na kodi ya miezi 6 apartment hii ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6 tuu kwa miguu njia ni rafiki na lami tupu hadi kwenye nyumba hapa ndugu mteja unatakiwa kutoa pesa ya dharura (caution money) kiasi cha sh 400k (laki 4 tuu ) apartment hii itakua wazi kuanzia tarehe 10/10/2023.
TSh 500,000 per month
Safety tips
Similar properties