




TSh 150,000 per month
Dar es Salaam , Ilala , Ukonga , 2 years ago
Nyumba inapangishwa Lk 1 Kwa mwezi Majohe viwege.

ROMENI JOHN
Verified documentsNyumba ya vyumba 3 sebule dining jiko stoo master pablic ndani ya fensi inapangishwa laki Moja na nusu Kwa mwezi mmoja, malipo miezi sita hadi minne, na mwezi mmoja wa madalali, nyumba hiyo ipo Gongolamboto Majohe viwege/ huduma zote za kijamii zipo karibu na nyumba hii/Romeni John/Zena.
TSh 150,000 per month
Safety tips
Similar properties