




TSh 42,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 3 years ago
suk

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, kitchen na public toilet ndani. Nyumba ina umeme na maji ya dawasco yapo pia huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi na nyumba inafikika kwa urahisi kwa usafiri wa aina yoyote ile. karibu sana maongezi yapo
TSh 42,000,000
Safety tips
Similar properties