




TSh 100,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 1 year ago
Kimara mwisho

Peter D
Verified documentsNyumba ina chumba, sebule, sehemu ya kupikia na choo ndani (master). Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita yake ya maji na maji yana toka ndani (chooni). Nyumba haiko ndani ya fence lakini ipo mazingira salama na yanayo fikika karibu sana.
TSh 100,000 per month
Safety tips
Similar properties