




TSh 248,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 3 years ago
madale

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Nyumba imekamilika kwa kila kitu yaani maji na umeme vipo na huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi. Pia nyumba ipo umbali wa mita 600 kutoka barabara kuu ya lami... pia kuna servant quarter yenye chumba master mara 2... karibu sana maongezi yapo
TSh 248,000,000
Safety tips
Similar properties