




TSh 95,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Goba , 1 year ago
Njia 4

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dining, jiko na public toilet. Pia ina mabanda ya kuku, stoo na chumba kimoja kwa uwani. Kiwanja chake kina ukubwa wa sqm 738, Ipo umbali wa 400 kutoka barabara kuu ya lami (goba road). Umeme na maji Dawasa vyote vipo. Nyumba hii ina HATI miliki kutoka wizarani (Title deed). Karibu sana maongezi kidogo yapo
TSh 95,000,000
Safety tips
Similar properties