




TSh 58,000,000
Dar es Salaam , Kinondoni , Mbezi , 2 years ago
Msumi kwa bundala

Peter D
Verified documentsNyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Umeme na maji vyote vipo pamoja na huduma nyingine za kijamii zinapatikana kwa urahisi. Karibu sana maongezi kidogo yapo
TSh 58,000,000
Safety tips
Similar properties