




TSh 36,000,000
Dar es Salaam , Temeke , 3 years ago
mbagala chamazi
Prince Realtor
Verified documentsNawa kumbusha wadau wangu hii nyumba bado ipo aijauzwa na bei yake bado ile ile aijashuka ni tsh mil 36 tu ipo mbagala saku ilulu jilani kabisa na shule ya msingi ya ilulu ina vyumba vitatu vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room ina maji na umeme eneo zuri sana ina jiko na store ina public toilet ina maji na umeme eneo zuri sana square meter 600 ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa upimaji shilikishi usha fanyika kutoka bara kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 10 tu kwa mwendo wa miguu ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek whatsapp
TSh 36,000,000
Safety tips
Similar properties