




TSh 450,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Sinza , 3 years ago
Afrikasana

Peter D
Verified documentsApartment ina chumba, sebule, jiko na choo ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji. Ipo ndani ya fence inayoingiza gari na ni karibu na barabara geti linaangalia lami hivyo kwa usafiri wa aina yoyote ni rafiki. Ulinzi upo wa uhakika masaa 24 walinzi wanabadilishana shift.
TSh 450,000 per month
Safety tips
Similar properties