




TSh 300,000 per month
Dar es Salaam , Kinondoni , Kimara , 2 years ago
Korogwe

Peter D
Verified documentsApartment ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji. Ipo ndani ya fence ya watu 2 kwenye compound na yenye parking.
TSh 300,000 per month
Safety tips
Similar properties